Log in
Kikundi cha Maendeleo Kuchele  Kijiji cha Mtopwa

Kikundi cha Maendeleo Kuchele Kijiji cha Mtopwa

Mtopwa, Tanzania

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

Kuchele Mtopwa imeandika Maombi kwa ajili ya kuendesha Mafunzo ya Utawala Bora kwa viongozi wa Asasi 100;viongozi 84 toka Serikali za vijiji tano vya Kata ya Mtopwa na wajumbe 16 toka makundi ya watu wenye ulemavu katika kata ya Mtopwa kwenye Shirika la The Foundation For Civil Society la DSM jumla ya fedha zilizoombwa ni shilingi  za kitanzania milioni arobaini na nne mia saba na mbili elfu mia moja kumi na mbili tu. (44,702,112/-) 

October 19, 2010

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.