Kupambana na umasikini ujinga na maradhi,katika mfumo wa utawala bora, utetezi na mtandao wa usalama.
Mabadiliko Mapya

Lift Life Foundation Development (LLFD) imeongeza Habari 2.
UHARIBIFU WA MAZINGIRA. – Katika maisha ya sasa uhalibifu wa mazingira umekuwa ni kiwango cha juu sana kiasi kwamba kampeni zote zinazopigwa inaonekana ni kama kutwanga maji kwenye kinu. – Fedha nyingi sana zinatolewa kuhifadhi misitu lakini inaonekana haziwafikii walengwa na kusababisha uharibifu kuendelea kama jinsi... Soma zaidi
10 Februari, 2012
Lift Life Foundation Development (LLFD) imeongeza Habari.
HABARI ZA UTAWALA BORA. – Katika mapambano ya kupunguza umasikini,ujinga na maradhi utawala bora na nyenzo mhimu katika mapambano haya. Lakini unaweza kushanga kusikia kuwa tangu uchaguzi umemalizika kuna kijiji kimoja hakina serikali kwa mda wa miezi kadhaa na hivyo kusababisha maendeleo ya eneo husika kuzorota kutokana na maswala... Soma zaidi
3 Juni, 2011
Lift Life Foundation Development (LLFD) imeumba ukurasa wa Miradi.
1.UTAWALA BORA – Lit Life kwa kutambua umuhimu wa utawala bora katika kupunguza umasikini tumekuwa na mradi wa kuwajengea uwezo viongozi wa vijiji katika kupunguza migogoro ya ardhi kati ya wakulima na wafugaji katika wilaya Mvomero kwenye kata za mtibwa, kanga na diongoya. – Mradi huu tumeufanyia utafiti yakinifu... Soma zaidi
3 Juni, 2011
Lift Life Foundation Development (LLFD) imejiunga na Envaya.
2 Januari, 2011
Sekta
Sehemu
Madizini, Morogoro, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu
Tazama mashirika ambayo yapo karibu