Walifaulu vipi kuingia sekondari?
Kuna tatizo kubwa la udanganyifu katika mitihani ya taifa nchini Tanzania. Tangazo hili linabeba ujumbe kuonyesha baadhi ya mbinu zinazotumiwa ili wanafunzi "wafaulu". Tuungane kukomesha tatizo hili. |
From:
Haki Elimu
Views:
0
![]() ![]() ![]() ![]() ![]() 0
ratings | |
Time: 01:04 | More in Nonprofits & Activism |