
#bajetielimu now listening to Dr Shukuru Kawambwa, Minister of Education and Vocational Training

Sasa tunasikiliza bajeti ya elimu inayosomwa bungeni na Mh Shukuru Kawambwa kisha kutakuwa na uchambuzi na majadiliano endelea kutufuatilia

unapotizama katika suala la gharama za elimu unaangalia usawa na tija -Dr.Mkenda #bajetielimu

@omarilyas uko sawa kabisa ni hatua ifuatayo baada ya kusoma swali ni kwamba utahoji nini katika kitabu kama hujakisoma?

@ShukuruKawambwa tunsubiri bajeti yako tukiamini itazingatia usawa na ubora katika elimu #bajetielimu

@bajetielimu tuhakikishe wanaopata fursa ya kusoma ni wale wenye uwezo darasani na siyo wenye wazazi wenye uwezo kifedha

@sophyb2010 @Jahhu Je, ni kweli kwamba fedha tulizonazo zinaturuhusu kufanya vyote kwa wakati mmoja?

#bajetielimu Ukombozi wa taifa hili utakuja kupitia elimu ya umma na siyo binafsi; je, wangapi tumeridhika na hali ya elimu yetu ya umma?

#bajetielimu Tusipozingatia usawa katika elimu tutapoteza kipaji vingi na kukuza chuki ndani ya jamii