Washiriki mbalimbali wa MAONESHO YA AZAKI BUNGENI DODOMA,wakipita katika mabanda ya wenzao kuona na kujifunza kupitia kazi zinazofanywa na Asasi hizo.
Muda wa siku tatu za maonesho ulikuwa wa kufana maana kupitia kuwaonesha wabunge wa Bunge letu la Jamhuri ya muungano kazi zetu tumezidi kuwaonesha ni namna gani sisi kama AZAKI tunao mchango mkubwa katika kuleta MAENDELEO ya Taifa letu la Tanzania.
June 13, 2013
Comments (1)