Hii ni meza kuu ikiwa tayali kumsubili mgeni rasimi Mh.Anne Makinda(Spika wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania),katika hotuba ya ufunguzi wa MAONESHO YA ASASI ZA KIRAIA(AZAKI),bungeni DODOMA yaliyofanyika tarehe 28-30/may/2013 katika viwanja vya bunge.
13 Juni, 2013