Fungua
ELDERS FOR THE PREVENTION OF AIDS-UKIMWI

ELDERS FOR THE PREVENTION OF AIDS-UKIMWI

Masasi, Tanzania

Jumla ya wanavikundi 20 wanaotoa huduma za wagonjwa majumbani

HBC attendants, wamepatiwa mafunzo ya rejea ya huduma zao

ili kuboresha stadi zao. Hii inafuatia mafunzo ya msingi waliyopatiwa

mnamo mwaka 2006. Ni matarajio ya asasi kuwa utendaji wao utaboreka

na kuleta manufaa kwa jamii wanazozihudumia.

2 Septemba, 2013
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.