Picha ya pamoja ya viongozi wa Dira Theatre na washiriki wa mafunzo ya sera na sheria za ardhi kutoka vijiji vya kata ya Mamboya, wilayani Kilosa.
Picha ya pamoja ya washiriki wa mafunzo ya sera na sheria za ardhi kutoka vijiji vya kata ya Maguha.
Diwani wa kata ya Maguha Ndg. Dickson Magoma akieleza jambo kwa washiriki wa mafunzo ya sera na sheria za ardhi (hawapo pichani) yaliyoendeshwa na Dira Theatre kwa ufadhili wa The foundation for Civil Society (FCS).
Meneja wa Dira Theatre Ndg. Erasmo Tullo (aliyesimama) akitoa maelezo kwa wajumbe wa mabaraza ya ardhi ya vijiji juu ya utekelezaji wa sera na sheria za ardhi.
Vijana wa Dira Group waki katika mchezo wa kuigiza katika kufikisha ujumbe kwa jamii juu ya sera na sheria za ardhi. Katika igizo wananchi walipata kufahamu namna ya kutatua migogoro ya ardhi, aswa ile ya wakulima na wafugaji na inayo husu mipaka. Mabaraza ya ardhi ya kijiji yalipata fulsa ya kufahamu aina ya migogoro wanayo wajibika nayo.
Dira group
Kwasasa imejikita zaidi katika Kutoa elimu kwa njia ya sanaa kupitia mradi wake wa;
Nafasi ya jamii na viongozi wa vijiji katika kutekeleza sera na sheria za ardhi