Injira
Chama cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) - Dodoma

Chama cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) - Dodoma

Dodoma, Tanzania

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

chavita tawi la mkoa wa Dodoma limezindua program ya mafunzo ya lugha za alama katika maeneo yafuatayo: UDOM, TCf, SAFINA KITUO CHA WATOTO YATIMA DOM na ST JOHN UNV DODOMA program hiyo ni ya miaka miwili kwa mujibu wa idara ya lugha ya alama chavita tawi la mkoa wa dom. mratibu wa mradi huo mr YUSUF MLOLI ambae ni mwenyekiti alisema na kuongeza kuwa mpango huo utasaidia na kuifanya jamii ya wakazi wa dom kuwatambua na kuwashirikisha viziwi kikamilifu katika mipango ya maendeleo y mji na kitaifa kwa ujumla. Aidha mafunzo yatagharamiwa na wanakisomo wenyewe au shirika husika. tunategemea kupanua weledi wa mafunzo haya kama kuyaingiza katika shughuli za kiserikali pale zinapofanyika kama vile semina za wadau wa maendeleo na huduma wanapoandaa semina zao au midahalo yao kuhusu mipango ya maendeleo basi nasi kama chama tunatumia nafasi hiyo kuwasilisha tukio la kujifunza walau dakika 10 tu kama sehemu ya kibwagizo.

29 Mata, 2012
« Inyuma

Ibitekerezo (5)

magessa (udom) bavuzeko
safi sana wadau wazo lenu liko sawa, tukopamoja.
19 Mata, 2013
Justine Mahinyila (Dodoma,Bahi) bavuzeko
Ilikuwakomboa viziwi ni lazima lugha ya ishara iingizwe katika mtaala wa elimu,
23 Kamena, 2015
Joshua (Dar es Salaam) bavuzeko
Ndio, huo ni mwanzo mwema kuelekea Tanzania yenye kujumuisha na kujali haki ya kila raia bila kujali hali yake
28 Werurwe, 2018
Nicolaus Mniko (Muleba, Kagera) bavuzeko
Ni hoja njema sana. Hii itapanua uelewa na ushiriki mpana wa kila MTU kwenye ujenzi wa taifa kwani lugha ya ishara itasambaa maeneo mengi na kusaidia watu wenye tatizo la usikivu.
10 Gicurasi, 2018
Grace (Dodoma) bavuzeko
Hongereni Sana lakini nami naomba niulizeJe huwa Kuna vifaa cya usikivu vya msaada vinapatikana?wapi KWA hapa Dodoma?
11 Mutarama, 2021

Tanga igitekerezo

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.