Log in
chama cha wazazi wa watoto wenye ulemavu wa mtindio wa ubongo, akili  na viungo Tanzania

chama cha wazazi wa watoto wenye ulemavu wa mtindio wa ubongo, akili na viungo Tanzania

msasani-kinondoni, Tanzania

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

chawaumavita ni mshiriki wa kongamano la kimataifa kuhusu birth defects international conference birth defects 2015 linaofanyika katika hoter ya Serena kuanzia tarehe 21.09.2015 hadi 24.09.2015

Mgeni rasmi alikuwa mh makamu wa Raisi Dr Mohammed Gharib Bilal ambaye aliufungua rasmi jana jumatatu 21.09.2015.

September 22, 2015
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.