Envaya

BAKWATA WILAYA YA GAIRO

Korera ubushake

Kila siku ya jumamosi ni usafi katika sekta ya afya yaani waislam tunaungana kwa pamoja na kwenda kufanya usafi Hospitalini ikiwa ni pamoja na kuwaona wagonjwa na kuwapa zawadi , kwafariji na kuwaombea dua.

Tunahitaji walimu wakujitolea katika kuwafundisha wanafunzi wa shule mbalimbali ikwa ni pamoja na shule za msingi