Fungua
BAKWATA WILAYA YA GAIRO

BAKWATA WILAYA YA GAIRO

GAIRO, Tanzania

TARIFA KWA WAISLAM WILAYANI GAIRO

BAKWATA wilaya ya gairo tunawatangazia waislam wote wilayani Gairo na maeneo ya jirani kuwa sherehe za Maulid ya Mtume (s.a.w) zita fanyika kiwilya Gairo mjini kwenye msikiti wa wilaya (Masjid Rahmaan) uliyopo Unguu Road. Akitoa taarifa hiyo Sheikh wa wilaya amesema, maadhimisho hayo yatafnyika siku ya ijumaa mwezi 29 mf 6 sawa na tarehe 31/01/2014. Maulid  hayo yatatanguliwa na maulid ya kinamama baada ya swala ya ijumaa. Mgeni rasmi katika shuguli hiyo anatarajiwa kuwa Sheikh Mohamed Iddy Mohamed (Abuu Iddy). Waislam wa Gairo  wana wakaribisha waislam wote wa maeneo ya jirani kuja kushirikiana kwa pamoja kusherehekea sikukuu hiyo ya kuzaliwa Mtume wetu Muhammad (s.a.w) alisema.

16 Januari, 2014
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.