Fungua
BAKWATA WILAYA YA GAIRO

BAKWATA WILAYA YA GAIRO

GAIRO, Tanzania

BARAZA KUU LA WAISLAM TANZANIA Wilaya ya Gairo linawata kheri na baraka katika kusherehekea Idd l'fitri. Ibada ya ya Suna ya Idd kiwilaya itafanyika katika msikiti mkuu wa wilaya Masjid Rahmaan uliopo Gairo Unguu road kuanzia saa 1.30 asubuhi. Akizungumza na waumini wa masjid Rahmaan jana mwezi 29 ramadhan Sheikh wa Wilaya alisema BARAZA la idd litafanyika siku ya jumanne katika kijiji cha Ng'olongo kiliopo kata ya Idibo kuanzia saa saba baada ya swala ya adhuhuri na kuwaasa kuwa waislam wote kuungana kwa pamoja katika Baraza la idd  hata hivyo amsema usafiri wa kuelekea huko utapatikana masjid Rahmaan kuanzia saa 5 asubuhi. (BAKWATA Wilaya)

28 Julai, 2014
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.