Fungua
UNITED AFRICANS

UNITED AFRICANS

NZEGA, Tanzania

APAPO tunaomba wawakilishi na watendaji wa serikali hususani wa ngazi za wilaya wasiotii sheria, wasiokuwa waadilifu na waaminifu kwa serikali kuu na raia wake, wanaposhindwa kutoa ushirikiano kwa shirika baada ya  kushirikishwa kama lilivyo lengo la Shirika, wasitumie fursa hiyo kuliharibia Shirika lengo na ahadi yake kwa serikali na raia wake. Sisi hatujaribu, Tunafanya.

29 Mei, 2013
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.