Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations
KUJIUNGA NA ABHASU
Kwa mtu yeyote anayetaka kujiunga na shirika hili anakaribishwa kutuma maombi kwa mwenyekiti wa shirika ambaye atampatia fomu ya kujaza. Fomu hii italipiwa Tsh 1000/- [elfu moja tu]. Hakikisha umeisoma katiba na kuelewa madhumuni,malengo na faida ya uanachama kwanza. Nakala ya katiba imeeambatanishwa hapa chini.
Wenu Katibu Mkuu
ABHASU
30 Mata, 2012