Asili (Kiswahili) | Kiswahili |
---|---|
KUJIUNGA NA ABHASU Kwa mtu yeyote anayetaka kujiunga na shirika hili anakaribishwa kutuma maombi kwa mwenyekiti wa shirika ambaye atampatia fomu ya kujaza. Fomu hii italipiwa Tsh 1000/- [elfu moja tu]. Hakikisha umeisoma katiba na kuelewa madhumuni,malengo na faida ya uanachama kwanza. Nakala ya katiba imeeambatanishwa hapa chini. Wenu Katibu Mkuu ABHASU |
(Bila tafsiri) |
Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe