Fungua
Wasaidizi wa kisheria Masasi

Wasaidizi wa kisheria Masasi

Masasi, Tanzania

Maeneo ya ukurasa huu ni kwa Kiingereza. Hariri tafsiri

Kikao cha kamati ya utendaji kimeamua kuanzisha darasa lingine lanutoaji wa haki za binadamu

kwenye kata ya Mwena yakilenga utoaji wa elimu ya haki za wanawake na watoto.

Msimamizi wa maunzo wa shirika Bi Tecla Mbawala amebainisha kuwa kazi ya usajili wa washiriki itaanza ambapo Bw. Maurice Ng'hitu amepewa kujumu la kuorodhesha majina. 

9 Juni, 2016
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.