Fungua
Wasaidizi wa kisheria Masasi

Wasaidizi wa kisheria Masasi

Masasi, Tanzania

Maeneo ya ukurasa huu ni kwa Kiingereza. Hariri tafsiri
Wakihabima imefanikiwa kuendesha kliniki ya msaada wa kisheria wilayani Masasi ambapo wanasheria 4 toka LHRC walikuja na kutoa ushauri na usaidizi wa kufuatilia mashauri yaliyokosa mwelekeo pia mafunzo yanayohusu masuala ya ndoa, mirathi, ardhi, haki za mtoto na sheria ya vijiji ya mwaka 1999. Kliniki hiyo ilifanyika kuanzia tarehe 9 hadi 13 Novemba2015 kwenye kata za Masasi mjini, Nanganga, Nanjota, Mbonde na Chiwale.
26 Novemba, 2015
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.