Injira
Wasaidizi wa kisheria Masasi

Wasaidizi wa kisheria Masasi

Masasi, Tanzania

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Icyongereza. Edit translations
Wakihabima imefanikiwa kuendesha kliniki ya msaada wa kisheria wilayani Masasi ambapo wanasheria 4 toka LHRC walikuja na kutoa ushauri na usaidizi wa kufuatilia mashauri yaliyokosa mwelekeo pia mafunzo yanayohusu masuala ya ndoa, mirathi, ardhi, haki za mtoto na sheria ya vijiji ya mwaka 1999. Kliniki hiyo ilifanyika kuanzia tarehe 9 hadi 13 Novemba2015 kwenye kata za Masasi mjini, Nanganga, Nanjota, Mbonde na Chiwale.
26 Ugushyingo, 2015
« Inyuma Ahakurikira »

Tanga igitekerezo

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.