Parts of this page are in Swahili. Edit translations
Pichani juu:Wanajamii wakipata maelezo kutoka kwa mweka hazina msaidizi wa TEYODEN bi Prisca Moses juu ya V.V.U/UKIMWI Katika maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani yaliyofanyika viwanja vya Zakhiem mbagala Charambe.Pichani chini:mama mwenye kofia Mgeni rasmi wa maadhimisho ya Ukimwi duniani Naibu Meya wa Manispaa ya Temeke akipata maelezo ya shughuli za TEYODEN kutoka kwa afisa habari wa TEYODEN bwana Hamphrey Shao.
December 14, 2011