Fungua
Temeke Youth Development Network

Temeke Youth Development Network

Temeke/Chang'ombe, Tanzania

Maeneo ya ukurasa huu ni kwa Kiingereza. Hariri tafsiri

 

TEYODEN yashiriki kwenye mkutano wa wadau Morogoro

Hivi karibuni ulifanyika mkutano wa awadu nwa maendeleo ya vijana pale mjini Morogor wakiupitia mkataba wa vijana wa Afrika na mkakati wa ushiriki na ushikishwaji wa vijana katika shughuli za kijamii.

Katika mkutano huo jumla ya washiriki 30 kutoka asasi za vijana na wawakilishi kutoka wizara za maendeleo ya jamii,jinsia na watto,wizara ya kilimo na wizara ya elimu na mafunzo walihudhuria mkutano huo.

Wadau waliupitia mkataba huo na kutoa mapendekezo ya kuuboresha ili uweze kuendana na mahitaji ya vijana wa kitanzania na mkakati huo pia.

11 Desemba, 2010
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.