Parts of this page are in Swahili. Edit translations
TEYODEN yashiriki kwenye mkutano wa wadau Morogoro
Hivi karibuni ulifanyika mkutano wa awadu nwa maendeleo ya vijana pale mjini Morogor wakiupitia mkataba wa vijana wa Afrika na mkakati wa ushiriki na ushikishwaji wa vijana katika shughuli za kijamii.
Katika mkutano huo jumla ya washiriki 30 kutoka asasi za vijana na wawakilishi kutoka wizara za maendeleo ya jamii,jinsia na watto,wizara ya kilimo na wizara ya elimu na mafunzo walihudhuria mkutano huo.
Wadau waliupitia mkataba huo na kutoa mapendekezo ya kuuboresha ili uweze kuendana na mahitaji ya vijana wa kitanzania na mkakati huo pia.
December 11, 2010