Log in
Temeke Youth Development Network

Temeke Youth Development Network

Temeke/Chang'ombe, Tanzania

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

WAWAKILISHI 6 WA TEYODEN WAFANYA TATHMINI JIJINI ARUSHA NA WENZAO KUTOKA NEWALA,MAGU,HAI ARUSHA MJINI NA MWANZA MJINI KUMALIZA HATUA YA KWANZA MRADI WA WASICHANA WALIO PEMBEZONI.

Katibu mtendaji wa TEYODEN akiwa na wawakilishi wengine 5 wakifanya mjadala wa pamoja juu ya shughuli zilizofanyika,mafanikio,changamoto na mapendekezo katika mradi wa mabinti walio pembezoni.Kikao hiki kimefanyika katika ukumbi wa Kumbukumbu ya Azimio la Arusha.

Vijana wawakikishi wa mitandao 5 ya vijana wakiwa katika mitaa ya Arusha kujionea wenyewe uzuri wa jiji hilo la kitalii.

Vijana wawakikishi wa mitandao 5 katika picha ya pamoja chini ya mnara wa Azimio la Arusha.

June 17, 2012
« Previous Next »

Comments (1)

Maulid Issa Mziwanda (Azimio) said:
Ni vizuri kwa kila eneo hii inaonyesha jinc gan mpo ok katika kaz za kijamii.. Ila iyo picha ya wasichana weng na mvulana mbele aipo fresh sana.. Siwez kuicoment hapa, ukitaka kujua why aipo powa yakubid unitafute kwenye facebook.. Tafuta maulid mziwanda
July 1, 2012

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.