Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations
WAWAKILISHI 6 WA TEYODEN WAFANYA TATHMINI JIJINI ARUSHA NA WENZAO KUTOKA NEWALA,MAGU,HAI ARUSHA MJINI NA MWANZA MJINI KUMALIZA HATUA YA KWANZA MRADI WA WASICHANA WALIO PEMBEZONI.
Katibu mtendaji wa TEYODEN akiwa na wawakilishi wengine 5 wakifanya mjadala wa pamoja juu ya shughuli zilizofanyika,mafanikio,changamoto na mapendekezo katika mradi wa mabinti walio pembezoni.Kikao hiki kimefanyika katika ukumbi wa Kumbukumbu ya Azimio la Arusha.
Vijana wawakikishi wa mitandao 5 ya vijana wakiwa katika mitaa ya Arusha kujionea wenyewe uzuri wa jiji hilo la kitalii.
Vijana wawakikishi wa mitandao 5 katika picha ya pamoja chini ya mnara wa Azimio la Arusha.
17 Kamena, 2012
Ibitekerezo (1)