Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

large.jpg

WAZEE HAWA WANATAKIWA KUTHAMNIWA SI KUTUMIKA KATIKA SIASA AFRIKA.

large.jpg

NANI MWENYE HAKI YA KUMBEBA MTOTO KATI YA HAWA WALIOWABEBA WATOTO?

large.jpg

MTOTO KUMBEBESHA MTOTO MWENZAKE JE NI MALEZI MAZURI? TUTAFAKARI!

Wanafunzi wa darasa la pili wa shule ya Msingi Yala wilayani Mbarali mkoani Mbeya wakiwa nje ya madarasa yao wakijifunza kuhesabu kama walivyokutwa na Ezekiel Kamanga wa Shirika lisilokuwa na Kiserikali la TANZANIA COMMUNITY MEDIA ORGANIZATION (TACOMO)

large.jpg

Kulia ni Mtunza hazina wa TACOMO Ezekiel Kamanga akiwa na Mkurugenzi wa TACOMO wakitafakari jambo.

large.jpg

Je uvunaji huu wa kisasa unaoendelea katika shamba la shirika la kilimo Uyole Jijini Mbeya, wakulima wadogohasa vijijini watafikia hapo?

large.jpg

Wakina Mama wajasiliamali katika Kata ya Mshangano Manispaa ya Songea wakiuza mazao ya mbogamboga chini katika Soko la Mshangano ambapo wamekuwa wakitozwa ushuru wa kati ya Shilingi 200 na 500 kwa siku kutokana na biashara hiyo,licha ya kuwa ni hatari kwa afya za watumiaji,imekuwa ikishangaza kuona Manispaa inachukua ushuru bila kujali kutengeneza miundombinu stahiki katika soko hilo jambo ambalo linatafsirika kama ni kuwadhulumu wakina mama hao miaka 50 ya uhuru.

large.jpg

Daraja la udongo hilo je ni salama ama ni kushindwa kuwajibika kwa viongozi tunaowachagua?!!!

large.jpg

Watoto kama hawa wanastahili kuendelezwa vipaji vyao kama wanavyoonekana, hawana viatu lakini duh! mambo safi

large.jpg

TUKOMESHE ajira kwa watoto. Hawa ni watoto wa kike wakazi wa eneo la Iziwa Jijini Mbeya wakiwa wamebeba kuni kwa ajili ya kuuza ili kujipatia kipato.