Log in
HUDUMA YA AFYA YA JAMII MTWARA
Parts of this page have been translated from Swahili to English. View original · Edit translations

NGOME imefungua tawi jingine la klabu ya wanafunzi kama zilivyo klabu zingine za NGOME katika shule za sekondari ya Mikindani na Mitengo. Klabu hiyo ya NGOME imefunguliwa katika shule ya sekondari NDUMBWE Mtwara vijijini. Klabu hizi ni kwaajili ya Elimu ya Afya ya Uzazi na Stadi za Maisha kwa wanafunzi wa sekondari, ambao hufundishwa na wataalam wa Afya kutoka NGOME na kufundishana wao kwa wao{UELIMISHAJI RIKA} baada ya kupata mafunzo kutoka  kwa wataalam.

large.jpg

Elimu ya Ukimwi na Jinsia katika shule za Sekondari, hapa mtaalam wa Afya akitoa Elimu hiyo kwa wanafunzi wa sekondari ya Mitengo Mtwara Mjini

Maelezo ya kina ya shirika la Huduma ya Afya ya jamii Mtwara(NGOME) yamewekwa katika tovuti hii pamoja na Ripoti ya mwaka 2010.

NGOME inafanya Utafiti wa Matatizo yanayofanya kuwe na Ndoa zinazovunjika mara kwa mara katika kata za Ufukoni na Mpapura ili kupanga mbinu mbadala ya kutatua tatizo hili linalopelekea maambukizi ya UKIMWI kuzidi kuenea kwa kasi kubwa pamoja na watoto wa Mitaani.

We have received good training for how to join Envaya today, 05/18/2011. We have enjoyed it. We thank those who have enabled us to get a new thing which we haven't used before. We thank you very much.