Log in
Maendeleo na Ustawi wa Jamii Tanzania

Maendeleo na Ustawi wa Jamii Tanzania

Geita, Tanzania

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

Hawa ni wakulima wa mashamba ya miwa yaliyolimwa kandokando ya ziwa victoria wanavyoonekana katika picha.Wakati timu ya kamati ya ifadhi mazingira iliyoundwa kusimamia miradi yao ya kulinda uwoto wa asili na ziwa lisivuliwe chini ya Afisa Samaki,Misitu,na Asasi isiyo yan Kiserikali.CHINI YA KAMPENI YA TAIFA YA UIFADHI MAZINGIRA ZIW VICTIRIA. 06/03/2013

1 Katikati katika picha ni mwenyekiti wa kamati ya uhifadhi Mazingira kijiji cha Nungwe,kata ya Chigunga Wilayani Geita.Ndg C. Mnene

2  Kushoto ni Katibu wa Kamati.J.Katemi

3  Kulia ni Mkurugenzi wa Asasi MAUJATA Ndg J.Marema

March 6, 2013
« Previous Next »

Comments (1)

Maendeleo na Ustawi wa Jamii Tanzania (Mtaa wa Nyanza,Kata Kalangalala,Wilaya ya Geita,Mkoa wa Geita) said:
Maendeleo na Ustawi wa Jamii Tanzania imefanya kazi na Halmashauri ya Geita katika kuibua mradi wa MAZINGIRA unaoitwa OBORESHAJI MAZINGIRA BONDE LA ZIWA VICTORIA.1 Kondo la Nungwe.
2 Nkome.
3Kabiga
April 17, 2013

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.