Hawa ni wakulima wa mashamba ya miwa yaliyolimwa kandokando ya ziwa victoria wanavyoonekana katika picha.Wakati timu ya kamati ya ifadhi mazingira iliyoundwa kusimamia miradi yao ya kulinda uwoto wa asili na ziwa lisivuliwe chini ya Afisa Samaki,Misitu,na Asasi isiyo yan Kiserikali.CHINI YA KAMPENI YA TAIFA YA UIFADHI MAZINGIRA ZIW VICTIRIA. 06/03/2013
1 Katikati katika picha ni mwenyekiti wa kamati ya uhifadhi Mazingira kijiji cha Nungwe,kata ya Chigunga Wilayani Geita.Ndg C. Mnene
2 Kushoto ni Katibu wa Kamati.J.Katemi
3 Kulia ni Mkurugenzi wa Asasi MAUJATA Ndg J.Marema
6 Machi, 2013
Maoni (1)
2 Nkome.
3Kabiga