Injira
LOVE CARE TO ALL

LOVE CARE TO ALL

Tabora, Tanzania

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

lengo la shirika langu ni kutoa ushauri kwa vijana juu ya kujikinga na maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI, hii itawasaidia vijana kujitambua na kuzijua fursa walizonazo katika jamii iliyozungukwa na maradhi.

Amakuru agezweho
LOVE CARE TO ALL yashyizeho Amakuru agezweho.
kukingana na ukubwa wa tatizo shirika limeamua kuchukua idadi ndogo ya walengwa ambao litaanza nao kwanza kwa awamu ya kwanza kulingana na uwezo wa shirika na mchango wa wafadhili. – Kwa upande wa makundi shiriki yote yameanza kufanya kazi za mikono kama ujasiriamali mdogo kilingana na rasilimali walizo nazo katika jamii yao, baadhi... Soma ibindi
17 Kamena, 2012
LOVE CARE TO ALL yakoze Ikipe paje.
Wanaoongoza shirika: – 1.Mkurugenzi wa shirika:Rachel Rashidy – 2.Mratibu wa shirika:Magreth kokuhabwa.
13 Kamena, 2012
LOVE CARE TO ALL yakoze Imishinga paje.
Shirika letu linfanya shughuli ziuatazo: – 1. kuibua vikundi vya ujasiriamali kulingana na rasilimali walizo nazo. – 2.Kutoa elimu ya ujasiriamali ya nanma ya kutumia rasilimali zinazowazunguka – 3.kutembelea makundi ya uzalishaji mali kila mwezi ili kufuatilia maendeleo yao, changamoto wanazokutana nazo na... Soma ibindi
13 Kamena, 2012
LOVE CARE TO ALL yakoze Amateka paje.
shirika lilianzishwa mnamo mwaka 2011 mwezi wa 12 mkoani Tabora likiwa na lengo la kutoa elimu juu ya kujikinga na maambukizi mpya ya VVU kwa vijana kati ya miaka 18 na 45. Shirika liliweka mikakati juu ya kulipata kundi hili la vijana lililo kwenye hatari kubwa ya kukumbwa na janga hili la UKIMWI. – Tangu kuanzishwa kwa shirika... Soma ibindi
13 Kamena, 2012
LOVE CARE TO ALL yasanze Envaya.
12 Kamena, 2012
Ibyiciro
Aho uherereye
Tabora, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye