Log in
HISIA CULTURAL TROUPE

HISIA CULTURAL TROUPE

IRINGA, Tanzania

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

HISIA CULTURAL TROUPE-HCT

February 8, 2017 Iringa

HCT ni asasi iliyosajiliwa na Baraza la sanaa la Taifa (BASATA) kwa usajili namba BST/2365 na inajishughulisha na uelimishaji wa jamii kwa njia ya sanaa za maonyesho. Sanaa hizo ni kama vile maigizo shirikishi, vichekesho, utambaji wa hadithi na ushairi.

Aidha asasi yetu inaelimisha jamii katika maeneo mbalimbali kama vile kinga dhidi ya UKIMWI, athari za madawa ya kulevya, afya ya uzazi na ujinsia, utawala bora, utafiti, ukuzaji wa vipaji, michezo, elimu rika, utunzaji wa mazingira na uhamasishaji wa utalii wa ndani.

Sasa Asasi yetu inapokea vijana kwa ajili ya kufanya field. Vijana hao wawe na sifa zifuatazo:-

  • Awe na ujuzi wa kutumia kompyuta
  • Awe na uwezo wa kuandika proposal
  • Awe na umri kuanzia miaka 18 hadi 35
  • Awe na nidhamu, mwaminifu na mbunifu

Kwa mawasiliano zaidi piga namba zifuatazo:-

0754 439740

0786 439740

0715 474527

0652 600002

hisiaone@gmail.com

 

February 8, 2017
« Previous

Comments (1)

kate Morgan (Usa) said:
I have used reallifehackers quite a number of times and they have never disappointed me. they do all types of mobile hacks and computer hacks; get unrestricted and unnoticeable access to your partner/spouse/anybody’s facebook account, email, whatsapp, text messages. they also make changes in any database/website such as your college/university grades. Getting the job done is as simple as sending an email to reallifehackers@gmail.com or text +13156755702 stating what you want to do? No upfront payment.
February 8, 2017

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.