Fungua
CHAMA CHA MAENDELEO YA KIUCHUMI NA KIJAMII VUGA

CHAMA CHA MAENDELEO YA KIUCHUMI NA KIJAMII VUGA

LUSHOTO, Tanzania

22 Desemba, 2013
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Maoni (2)

CHAMA CHA MAENDELEO YA KIUCHUMI NA KIJAMII VUGA (DHAHABU JUMAA- MRATIBU WA CHAMAKIVU) alisema:
Halmashauri za Wilaya ziweke bajeti kwa ajili ya mafunzo kwa watendaji Kata,Vijiji, na Halmashauri za Vijiji/Kamati za Vijiji
Kuwepo na mafunzo ya mara kwa mara kwa watendaji na wenyekiti wa Vijiji/Vitongoji
Viongozi wa Vijiji/Vitongoji wawe na dhana yakujitolea katika kujifunza na utafutaji wa taarifa mbalimbali, kuliko hali ya sasa ya kutanguliza posho zaidi kuliko kujifunza.
22 Desemba, 2013
CHAMA CHA MAENDELEO YA KIUCHUMI NA KIJAMII VUGA (DHAHABU JUMAA- MRATIBU WA CHAMAKIVU) alisema:
Tumekuwa tunapata shida sana katika mafunzo viongozi wengi wa vijiji wakiitwa katika mafunzo cha kwanza kuuliza ni posho badala ya kujifunza na wakati huo kiongozi uyo hana utambuzi wowote wa nafasi ya uongozi wake, hali ni mbaya sana vijijini viongozi wengi wa vijiji hawana utambuzi wa mambo ya utawala bora kabisa yeye kaa katika uongozi kwa kujua kuongea sana au vinginevyo jitihada kubwa zinahitajika sana kwani jamii iko kwa viongozi wa ngazi ya chini vitongoji na vijiji...
22 Desemba, 2013

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.