Mkurugenzi mtendaji wa asasi ya Bight Light Mathew Daniel akitoa maelezo mafupi kuhusiana na mradi wa JENGA UWEZO kwa Mwl. Mkuu Msaidizi wa Shule ya Msingi Mkoani.
Mkurugenzi mtendaji Mathew Daniel (kushoto) na Afisa mshauri Kim Adiel (kulia) wa asasi ya Bright Light wakiwa katika ofisi ya mwalimu mkuu wa S/Msingi Mkoani hapa Geita wakati wa kubaini watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi shuleni hapo.
Network programer of Bright Light Organization miss Bibiana Marco on her pose after a heavy task she was assigned to do.
Mwanawarsha bi Mariam Ngai akifuatilia kwa makini maelekezo ya mwezeshaji wakati wa mafunzo yakiendelea.
Wanawarsha wakiwa na nyuso za furaha wakimsikiliza mwezeshaji katika ukumbi wa mikutano wa asasi ya Bright Light.
Mwanawarsha ndugu Roggers William akisikiliza kwa makini maelekezo ya namna ya kufanya kazi kwa ufanisi katika asasi yao.
Mwezeshaji ndugu Kim Adiel Juan akitoa maelekezo amilifu jinsi ya kufanya kazi kwa ufanisi katika asasi ya Bright Light ili kuleta maendeleo endelevu kwa wanachama na jamii kwa ujumla.
Mwanawarsha ndugu Mathew Daniel akitoa maoni wakati wa semina ya namna ya kufanya kazi kwa ufanisi katika asasi ya Bright Light.
These are nursery school pupils participating world's girl child celebration in Geita Region