Parts of this page are in Swahili. Edit translations
Mwalimu Zahara Hamis akiwa darasani katika kituo cha elimu cha Bright Light mkoani Geita.
Hili ni shamba la katani ambalo mkurugenzi mtendaji wa Bright Light ndugu Mathew Daniel alilitembelea wakati akifanya utafiti kuhusu kilimo cha katani mkoani Morogoro.
Bright Light Executive Director Mr. Mathew Daniel (left) receiving a grant certificate from US Ambassador.
Mkurugenzi mtendaji (aliyesimama) na afisa mshauri aliyechuchumaa (katikati) ya wanafunzi baada ya kumalizika zoezi la kuwabaini watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi.
Mkurugenzi mtendaji akiandika majina ya watoto wanaoishi katika mazingira magumu.