Fungua
BAGAMOYO CARE ORGANISATION

BAGAMOYO CARE ORGANISATION

bagamoyo, Tanzania

FCS Narrative Report

Utangulizi

BAGAMOYO CARE ORGANISATION
BACAO
MRADI WA KUJENGA UWEZO WA ASASI KWA MIEZI MITATU
FCS/RSG/1/11/334
Tarehe: 01/07/2011Kipindi cha Robo mwaka: 30/09/2011
HAMISI TOSHA HAMISI. MOB. 0658438778
0753438778
E-MAIL:bagacare.org@gmail.com
TOVUTI.http://envaya.org/BACAO

Maelezo ya Mradi

Uimarishaji Asasi za Kiraia
Mradi wetu utakapokamilika wanachama na viongozi watakuwa na uwelewa mkubwa juu ya asasi na utawala bora

Wanachama na viongozi wataelewa uandishi wa michanganuo ya miradi na usimamizi wa fedha
Wanachama na viongozi wataandaa kanuni za muongozo wa usimamizi wa fedha.
MkoaWilayaKataVijijiIdadi ya Wanufaika
PwaniBagamoyoDundaYombo40
PwaniBagamoyoMagomeniMatimbwa
PwaniBagamoyoYombo
PwaniBagamoyo
PwaniBagamoyo
PwaniBagamoyo
 Walengwa wa moja kwa mojaWalengwa wasio wa moja kwa moja
Wanawake24(Hakuna jibu)
Wanaume133
Jumla373

Shughuli na Matokeo ya Mradi

Viongozi pamoja na wanachama 37 na viongozi watatu wa serikali wamepatiwa mafunzo ya uendeshaji wa asasi kuhusu utawala bora.Usimamizi wa miradi na usimamizi wa fedha Asasi ina muongozo wa usimamizi wa fedha.
Kufanya mafunzo ya undeshaji wa asasi,uandikaji wa michanganuo ya miradi na uandaji wa kanuni za muongozo wa usimamizi wa fedha.
Viongozi na wanachama 37 na viongozi watatu wa seri kari za mitaa walipatiwa mafunzo ya siku tano katika ukumbi wa Bagamoyo view hotel yahusiyo Utawala bora ,usimamizi wa fedha,uandikaji wa michanganuo ya miradi, Uandaaji wa kanuni za u simamizi wa fedha .Nk
Uelewa wa viongozi wa asasi na wanachama wake umeongezeka ku tokana na mafunzo waliyoyapata.
Uendeshaji wa Asasi na Utawla bora tulitumia Tsh 2,206,300/= (ii) Uandishi wa michanganuo ya fedha Tsh 2,206,300/= (III) Uandaji wa kanuni za muongozo wa fedha Tsh 1,077,400/= (IV) Wajumbe 7 wa kamati tendaji Tsh 134000/= (v) Ufuatiliaji na tathimini Tsh 361000/= (vi)Utawala Tsh 1,575,000/=

Mafanikio au Matunda ya Mradi

Viongozi pamoja na wanachama 37 na viongozi watatu wa serikari za mitaa wamepatiwa mafunzo ya uendeshaji wa Asasi na utawala bora na wamefahamu wajibu wao kwa sasa
Viongozi na wanachama wamefahamu Uandishi wa michanganuo ya miradi na kuitengeneza Bajeti.
Wanachama kujua mipaka yao katika uendeshaji wa Asasi na viongozi pia.Na wamekuwa na morali katika uhudhuliaji katika vikao tofauti na mwanzo uwazi na uwajibikaji umeongezeka
1. Kufahamu wajibu wao na ,mipaka yao katika uendeshaji wa Asasi (2) Wamehudhulia mafunzo ambayo yamewapa ufahamu na uelewa mkubwa

Mambo Mliyojifunza

Maelezo
Kutakana na utedkelezaji wa mradi huu, viongozi na wanachama kwa jumla wamefahamu wajibu wao.
Tum ekuwa na uhusiano mzuri baina ya Asasi ya Bagamoyo care organization na viongozi wa serikari kuu na Halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo.
Asasi imeadhimia mara tutapomaliza mradi huu tutawasilisha andiko la miradi mwingine ambao tutawafikia walengwa wetu waliomo ndani ya katiba

Changamoto

(Hakuna jibu)

Mahusiano

WadauNamna mlivyoshirikiana nayo
Maafisa watendaji wa kata tatu (1) Dunda (2) Magomeni (3) YomboWameshiriki mafunzo tuliyoifanya ya kujenga uwezo wa Asasi juu ya Utawala bora, Usimamizi wa miradi Usimamizi wa fedha , Uandikaji michanganuo ya miradi na kuandaa kanuni za muongozo wa fedha
Mwenyekiti na katibu wake wa serikali ya kitongoji cha Dunda (1) Wamehudhulia mafunzo kama uongozi wa kata tulizitaja juu (2) Kutushauri muda na siku wa kuanza mafunzo yetu

Mipango ya Baadae

Shughuli ZilizopangwaMwezi wa 1Mwezi wa 2Mwezi wa 3
Kufanya mafunzo ya kujenga uwezo wa Asasi juu ya utawala bora usimamizi wa fedha ,Uandikaji wa michanganuo ya miradi kuanda kanuni za muongozo wa fedha ___
Kufanya tathimini na ufuatiliaji wa mradi___
Kuandaa taarifa ya mwisho ya mradi na kuituma The foundation for civil society.___

Walengwa Waliofikiwa

    Walengwa wa moja kwa mojaWalengwa wasio wa moja kwa moja
Wajane na WaganeWanawake4(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla4(Hakuna jibu)
Watu wanaoishi na VVU/UKIMWIWanawake4(Hakuna jibu)
Wanaume3(Hakuna jibu)
Jumla7(Hakuna jibu)
WazeeWanawake3(Hakuna jibu)
Wanaume3(Hakuna jibu)
Jumla6(Hakuna jibu)
Watoto YatimaWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
WatotoWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watu wenye UlemavuWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume1(Hakuna jibu)
Jumla1(Hakuna jibu)
VijanaWanawake8(Hakuna jibu)
Wanaume7(Hakuna jibu)
Jumla15(Hakuna jibu)
Watu wengineWanawake18(Hakuna jibu)
Wanaume10(Hakuna jibu)
Jumla28(Hakuna jibu)
(Hakuna jibu)

Matukio Mliyoyahudhuria

Aina ya TukioLiniMambo uliyojifunzaHatua zilizochukuliwa
Mafunzo ya siku 6 ya usimamizi wa ruzukuKuanzia Tarehe 27/6/2011 hadi tarehe 01/7/2011Usimamizi wa miradi,Uchambuzi wa tatizo na malengo.katika mzunguko wa ,mradi,Usimamizi wa fedha,Uandaaji wa bajeti, Uandaaji taarifa kufuatana na mfumo wa FCS.Kutoa mikataba kwa shughuli za miradi tulizoziombea ruzuku toka FCS.

Viambatanisho

(Hakuna jibu)