Parts of this page are in Swahili. Edit translations
FCS Narrative Report
Introduction
BAGAMOYO CARE ORGANISATION
BACAO
MRADI WA KUJENGA UWEZO WA ASASI KWA MIEZI MITATU
FCS/RSG/1/11/334
Dates: 01/07/2011 | Quarter(s): 30/09/2011 |
HAMISI TOSHA HAMISI. MOB. 0658438778
0753438778
E-MAIL:bagacare.org@gmail.com
TOVUTI.http:/ / envaya.org/ BACAO
0753438778
E-MAIL:bagacare.org@gmail.com
TOVUTI.http:/
Project Description
Civil Society Capacity Strengthening
Mradi wetu utakapokamilika wanachama na viongozi watakuwa na uwelewa mkubwa juu ya asasi na utawala bora
Wanachama na viongozi wataelewa uandishi wa michanganuo ya miradi na usimamizi wa fedha
Wanachama na viongozi wataandaa kanuni za muongozo wa usimamizi wa fedha.
Wanachama na viongozi wataelewa uandishi wa michanganuo ya miradi na usimamizi wa fedha
Wanachama na viongozi wataandaa kanuni za muongozo wa usimamizi wa fedha.
Region | District | Ward | Villages | Total Beneficiaries |
---|---|---|---|---|
Pwani | Bagamoyo | Dunda | Yombo | 40 |
Pwani | Bagamoyo | Magomeni | Matimbwa | |
Pwani | Bagamoyo | Yombo | ||
Pwani | Bagamoyo | |||
Pwani | Bagamoyo | |||
Pwani | Bagamoyo |
Direct Beneficiaries | Indirect Beneficiaries | |
---|---|---|
Female | 24 | (No Response) |
Male | 13 | 3 |
Total | 37 | 3 |
Project Outputs and Activities
Viongozi pamoja na wanachama 37 na viongozi watatu wa serikali wamepatiwa mafunzo ya uendeshaji wa asasi kuhusu utawala bora.Usimamizi wa miradi na usimamizi wa fedha Asasi ina muongozo wa usimamizi wa fedha.
Kufanya mafunzo ya undeshaji wa asasi,uandikaji wa michanganuo ya miradi na uandaji wa kanuni za muongozo wa usimamizi wa fedha.
Viongozi na wanachama 37 na viongozi watatu wa seri kari za mitaa walipatiwa mafunzo ya siku tano katika ukumbi wa Bagamoyo view hotel yahusiyo Utawala bora ,usimamizi wa fedha,uandikaji wa michanganuo ya miradi, Uandaaji wa kanuni za u simamizi wa fedha .Nk
Uelewa wa viongozi wa asasi na wanachama wake umeongezeka ku tokana na mafunzo waliyoyapata.
Uendeshaji wa Asasi na Utawla bora tulitumia Tsh 2,206,300/= (ii) Uandishi wa michanganuo ya fedha Tsh 2,206,300/= (III) Uandaji wa kanuni za muongozo wa fedha Tsh 1,077,400/= (IV) Wajumbe 7 wa kamati tendaji Tsh 134000/= (v) Ufuatiliaji na tathimini Tsh 361000/= (vi)Utawala Tsh 1,575,000/=
Project Outcomes and Impact
Viongozi pamoja na wanachama 37 na viongozi watatu wa serikari za mitaa wamepatiwa mafunzo ya uendeshaji wa Asasi na utawala bora na wamefahamu wajibu wao kwa sasa
Viongozi na wanachama wamefahamu Uandishi wa michanganuo ya miradi na kuitengeneza Bajeti.
Wanachama kujua mipaka yao katika uendeshaji wa Asasi na viongozi pia.Na wamekuwa na morali katika uhudhuliaji katika vikao tofauti na mwanzo uwazi na uwajibikaji umeongezeka
1. Kufahamu wajibu wao na ,mipaka yao katika uendeshaji wa Asasi (2) Wamehudhulia mafunzo ambayo yamewapa ufahamu na uelewa mkubwa
Lessons Learned
Explanation |
---|
Kutakana na utedkelezaji wa mradi huu, viongozi na wanachama kwa jumla wamefahamu wajibu wao. |
Tum ekuwa na uhusiano mzuri baina ya Asasi ya Bagamoyo care organization na viongozi wa serikari kuu na Halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo. |
Asasi imeadhimia mara tutapomaliza mradi huu tutawasilisha andiko la miradi mwingine ambao tutawafikia walengwa wetu waliomo ndani ya katiba |
Challenges
(No Response)
Linkages
Stakeholder | How you worked with them |
---|---|
Maafisa watendaji wa kata tatu (1) Dunda (2) Magomeni (3) Yombo | Wameshiriki mafunzo tuliyoifanya ya kujenga uwezo wa Asasi juu ya Utawala bora, Usimamizi wa miradi Usimamizi wa fedha , Uandikaji michanganuo ya miradi na kuandaa kanuni za muongozo wa fedha |
Mwenyekiti na katibu wake wa serikali ya kitongoji cha Dunda | (1) Wamehudhulia mafunzo kama uongozi wa kata tulizitaja juu (2) Kutushauri muda na siku wa kuanza mafunzo yetu |
Future Plans
Activities Planned | 1st Month | 2nd Month | 3rd Month |
---|---|---|---|
Kufanya mafunzo ya kujenga uwezo wa Asasi juu ya utawala bora usimamizi wa fedha ,Uandikaji wa michanganuo ya miradi kuanda kanuni za muongozo wa fedha | ___ | ||
Kufanya tathimini na ufuatiliaji wa mradi | ___ | ||
Kuandaa taarifa ya mwisho ya mradi na kuituma The foundation for civil society. | ___ |
Beneficiaries Reached
Direct Beneficiaries | Indirect Beneficiaries | ||
---|---|---|---|
Widows | Female | 4 | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | 4 | (No Response) | |
People living with HIV/AIDS | Female | 4 | (No Response) |
Male | 3 | (No Response) | |
Total | 7 | (No Response) | |
Elderly | Female | 3 | (No Response) |
Male | 3 | (No Response) | |
Total | 6 | (No Response) | |
Orphans | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Children | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Disabled | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | 1 | (No Response) | |
Total | 1 | (No Response) | |
Youth | Female | 8 | (No Response) |
Male | 7 | (No Response) | |
Total | 15 | (No Response) | |
Other | Female | 18 | (No Response) |
Male | 10 | (No Response) | |
Total | 28 | (No Response) |
(No Response)
Events Attended
Type of Event | When | Lessons | Actions Taken |
---|---|---|---|
Mafunzo ya siku 6 ya usimamizi wa ruzuku | Kuanzia Tarehe 27/6/2011 hadi tarehe 01/7/2011 | Usimamizi wa miradi,Uchambuzi wa tatizo na malengo.katika mzunguko wa ,mradi,Usimamizi wa fedha,Uandaaji wa bajeti, Uandaaji taarifa kufuatana na mfumo wa FCS. | Kutoa mikataba kwa shughuli za miradi tulizoziombea ruzuku toka FCS. |
Attachments
(No Response)