Log in
YOUTH ACTION DEVELOPMENT ( YAD )

YOUTH ACTION DEVELOPMENT ( YAD )

DAR ES SALAAM, Tanzania

large.jpg

YAD tunatambua mchango wa Mhe.Dr. Jakaya mrisho Kikwete ambaye ni Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuliletea taifa hili maendeleo.

large.jpg

Mhe.Dr. Jakaya mrisho Kikwete ambaye ni Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa mgeni rasmi katika mwaliko wa Futari ya pamoja iliyoandaliwa na Shirika la YAD jijini Dar es Salaam.

large.jpg

Mheshimiwa Dr. Jakaya Kikwete akitoa ushauri mkumbwa wa namna nzuri ya kuendesha Taasizi za vijana nchini Tanzania. Akiwa katika sherehe za kuazimisha miaka mitano ya shirika la YAD tangu lisajiliwe.

large.jpg

Mkurugenzi mtendaji wa YAD akifafanua umuhimu wa vijana kushiriki katika harakati zote za kimaendeleo kwa kushirikiana na Serikali, akifungua makongamano ya kuhamasisha vijana kujitokeza kwa wingi katika kujiandikisha na upigaji kura kwa katiba pendekezwa na Bunge maalumu la katiba. Na kasisitiza kuwa vijana wawe mbele katika swala zima la kuilinda na kuienzi amani ya nchi yetu katika kuendea uchaguzi mkuu wa octoba 2015. Pia ameomba wadhamini wajitokeze katika kuwaunga mkono ili waweze kuendelea na makongamano hayo kila kona ya nchi yetu.

large.jpg

Mkurugenzi mtendaji wa YAD akifafanua umuhimu wa vijana kushiriki katika harakati zote za kimaendeleo kwa kushirikiana na Serikali, akifungua makongamano ya kuhamasisha vijana kujitokeza kwa wingi katika kujiandikisha na upigaji kura kwa katiba pendekezwa na Bunge maalumu la katiba. Na kasisitiza kuwa vijana wawe mbele katika swala zima la kuilinda na kuienzi amani ya nchi yetu katika kuendea uchaguzi mkuu wa octoba 2015. Pia ameomba wadhamini wajitokeze katika kuwaunga mkono ili waweze kuendelea na makongamano hayo kila kona ya nchi yetu.

large.jpg

Mkurugenzi mtendaji wa YAD akifafanua umuhimu wa vijana kushiriki katika harakati zote za kimaendeleo kwa kushirikiana na Serikali, akifungua makongamano ya kuhamasisha vijana kujitokeza kwa wingi katika kujiandikisha na upigaji kura kwa katiba pendekezwa na Bunge maalumu la katiba. Na kasisitiza kuwa vijana wawe mbele katika swala zima la kuilinda na kuienzi amani ya nchi yetu katika kuendea uchaguzi mkuu wa octoba 2015. Pia ameomba wadhamini wajitokeze katika kuwaunga mkono ili waweze kuendelea na makongamano hayo kila kona ya nchi yetu.

large.jpg

VIJANA WAKIWA MAREKANI{YALI}

large.jpg

VIJANA WAKIWA MAREKANI{YALI}