Envaya

Upendo Group

Area A kata ya chamwino, Tanzania

Kufuga kuku na kutengeneza unga wa lishe ili kuwawezesha wanawake wanaoishi na VVU, na kuhamasisha kuhusu lishe bora kwao.
Mabadiliko Mapya
Upendo Group imehariri ukurasa wa Timu.
Zainabu Hassani – Katibu
23 Julai, 2010
Upendo Group imeongeza Habari.
Lengo kuu ni kufuga kuku na kutengeneza unga wa lishe kwa ajili ya kujipatia kipato na kuboresha afya zetu kwa wanawake wanaoishi na virusi vya ukimwi.
5 Juni, 2010
Upendo Group imejiunga na Envaya.
5 Juni, 2010
Sekta
Sehemu
Area A kata ya chamwino, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu