Fungua
Tupendane Group -- Dodoma

Tupendane Group -- Dodoma

dodoma, Tanzania

25/06/2010

                         MATATIZO YA KIKUNDI

Wanachama tulitukutana kujadili tatizo la UKOSEFU WA OFISI YA KIKUNDI.

Kwani mpaka sasa shughuli zote za kikundi zinafanyika SEBULENI kwa Mwenyekiti hivyo kupunguza ufanisi wa shughuli za kikundi.Pia ukosefu wa vitendea kazi unarudisha nyuma shughuli za kikundi.Kikundi kinaomba kuwezeshwa kupatiwa Ofisi na Vitendea kazi ili kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa shughuli za kila siku za kikundi.

26 Julai, 2010
« Iliyotangulia

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.