Injira

Ubusobanuro: Kiswahili (sw): User Content: WI00098196C2841000002860:content

« Inyuma   ·   Ahakurikira »
Base (Igiswayire) Kiswahili

Mkurugenzi mtendaji wa shirika la African Heritage Foundation  nchini TANZANIA ndugu Albert T.Msafiri anatoa wito kwa vijana kuunga mkono shirika hilo katika jitihada zake za kutokomeza ujinga kwa kujitolea kufundisha katika shule za kata chini ambazo zina matatizo makubwa ya walimu. Albert aliendelea kusema kuwa shule za kata ni maeneo ya vijijini hayana walimu kabisa alitolea mfano wa shule  ya secondari ya Chetu iliyoko Wilaya ya Urambo mkoani Tabora ambayo inadiriki kuajiri walimu wa muda waliohitimu kidato cha nne na kupata madaraja yasiyofaa. Kwa kuonesha msisitizo mkuu huyo amejitolea kufundisha bure katika shule nne za kata zilizopo katika vijiji mbalimbali vilivyopo wilayani Urambo.

    Mkurugenzi Mtendaji anachukua nafasi hii kuwatakia mfungo mwema wa mwezi mtukufu wa Ramadhani waislamu wote duniani. pichani ni wanafunzi wa Tallented Brothes Academy learning centre ambayo ipo chini ya African Heritage Foundation wakijadili somo la Historia katika viwanja vya kituo hicho

 

Mkurugenzi mtendaji Wa shirika la African Heritage Foundation TANZANIA Ndugu Albert nchini T. Msafiri anatoa wito Kwa vijana kuunga Mkono shirika hilo katika jitihada zake za kutokomeza ujinga Kwa kujitolea kufundisha katika shule za chini ambazo zina kataṃ matatizo makubwa ya walimu. Albert aliendelea kusema kuwa shule za kataṃ Ni maeneo ya vijijini hayana walimu kabisa alitolea mfano Wa shule ya secondari ya Chetu iliyoko Wilaya ya Urambo Mkoani Tabora ambayo inadiriki kuajiri walimu waliohitimu Wa muda kidato cha nne Rangi kupata madaraja yasiyofaa. Kwa kuonesha msisitizo mkuu huyo amejitolea kufundisha katika shule bure nne za kataṃ zilizopo katika vijiji mbalimbali vilivyopo wilayani Urambo.

Mkurugenzi Mtendaji anachukua nafasi Hii kuwatakia mfungo mwema mwezi mtukufu Wa Wa Ramadhani waislamu wote duniani. Ni pichani wanafunzi Wa Tallented Brothes Academy kituo cha mafunzo ambayo IPO chini ya African Heritage Foundation wakijadili somo la Historia katika viwanja vya kituo hicho


Kugirango ugire icyo uhindura kubyo wasemuye, ugomba kwinjira mu rubuga Injira · Iyandikishe

Ibyasobanuwe

Google Translate
20 Kanama, 2010
(image) Mkurugenzi mtendaji Wa shirika la African Heritage Foundation TANZANIA Ndugu Albert nchini T. Msafiri anatoa wito Kwa vijana kuunga Mkono shirika hilo katika jitihada zake za kutokomeza ujinga Kwa kujitolea kufundisha katika shule za chini ambazo zina kataṃ matatizo makubwa ya walimu. Albert aliendelea kusema kuwa shule za kataṃ Ni maeneo ya vijijini hayana walimu kabisa alitolea mfano Wa shule ya secondari ya Chetu iliyoko Wilaya ya Urambo Mkoani Tabora ambayo...
Ubu busobanuro bwakuwe mu nyandiko ya kera