Asili (Kiswahili) |
Kiswahili |
 | Hizi ni ofisi za chama cha wandishi wa Habari mkoani Mbeya ambapo mkuu wa mkoa ametembelea hivi majuzi! |
 | Meya wa Jiji la Mbeya Mstahiki Athanas Kapunga akizungumza neno kwenye ofisi za chama cha wandishi wa habari mkoa Mbeya |
 | Mkuu wa mkoa Mbeya Abbas Kandoro akiwa amepozi na viongozi wa klabu ya wandishi wa habari Mkoani Mbeya |
 | Mwenyekiti wa Klabu ya wandishi wa habari Mkoa wa Mbeya Christopher Nyenyembe akizungumza jambo mbele ya mgeni wao. |
 | Mkuu wa mkoa Kandoro akisaini kitabu cha wageni |
|
|