Log in

/nvrf/topic/123260: English

BaseEnglish
Charles Chama kitakacho leta mabadiliko Tanzania ni Katiba mpya tu ambayo itatetea jasho la Watanzania Lkn ninawasihi wale wote amba ni viongozi kuacha kujilundikia mali watalaaniwa unajua jana nilikuwa nafanya home visit ambayo ni kawaida yangu kila wiki kufanya hivyo nilikuta Familia moja haijala na hawana mpango wa kupata chakula ni saa tisa jioni angalia hali ilivyo mbaya. Kaka ujumbe wangu tumuogope Mungu tuache ubinafsi.Charles Party is going to make a difference in Tanzania is the new Constitution only that itatetea sweat of Tanzanians Lkn I urge all those who are leaders stop kujilundikia property will cursed you know yesterday I was doing home visit which is my usual weekly doing so I found one Family is ijala and do not plan to get food a nine-hour evening look bad situation. Brother my message tumuogope God should leave self.Edit
Jasho la mtanzania limeendelea kuvuja bila mafanikio yoyote viongozi ambao nao ni wtz wameendelea kuchuja na kulimwaga ndan ya matumbo yao bila huruma utu wala uchungu kwa wanzao yote haya yanafanywa kwa makusudi pamoja na hila zilizo ndan ya mioyo yao jamani nchi yenye matatizo katika kusimamia mali zake kama hii bado tena tunaongeza mzigo kwa kuongeza watu wengne wakusimamia wakati hata wale waliopo bado ni mzigo kwa watz kiufupi tuna mawaziri zaidi ya 55 ambao wanatumia kodi zetu katika...Sweat of a Tanzanian continued leakage without any success leaders who they are wtz have continued to refine and kulimwaga handan of their bowels without compassion dignity and anguish for wanzao all this being done on purpose with the subtle signs handan their hearts folks country with problems in managing its assets as This yet again we are adding burden to increase the wengne wakusimamia when even those who are still burdened by watz kiufupi we have ministers over 55 who spend our taxes in...Edit
JASHO LA MTANZANIASweat of TanzaniaEdit