Base (Swahili) |
English |
Jasho la mtanzania limeendelea kuvuja bila mafanikio yoyote viongozi ambao nao ni wtz wameendelea kuchuja na kulimwaga ndan ya matumbo yao bila huruma utu wala uchungu kwa wanzao yote haya yanafanywa kwa makusudi pamoja na hila zilizo ndan ya mioyo yao jamani nchi yenye matatizo katika kusimamia mali zake kama hii bado tena tunaongeza mzigo kwa kuongeza watu wengne wakusimamia wakati hata wale waliopo bado ni mzigo kwa watz kiufupi tuna mawaziri zaidi ya 55 ambao wanatumia kodi zetu katika maisha yao ya kila siku jamani hao wote ni halali kwel kwa nchi kama hii ya kwetu kuwa na mzigo mkubwa kama huo jamani majibu yote yatakua kama mimi niwazavyo hapo bado manaibu wazr makatibu wakuu wakurugenzi wakuu wa mikoa wilaya na makatbu tawala wao jaman wote hawa wana mavx na majumba yenye kila kitu kinachotaka kwenye kodi zetu kuna zaid ya magari ya kifahari yenye thamani ya trilion 2.2 hayo nimagar tu ambayo yanatumia mafuta ya bil1.5 kwa wiki je?kwa gharama hizo tutaweza kuendeleza nchi kweli?
|
Sweat of a Tanzanian continued leakage without any success leaders who they are wtz have continued to refine and kulimwaga handan of their bowels without compassion dignity and anguish for wanzao all this being done on purpose with the subtle signs handan their hearts folks country with problems in managing its assets as This yet again we are adding burden to increase the wengne wakusimamia when even those who are still burdened by watz kiufupi we have ministers over 55 who spend our taxes in their everyday folks these are all legitimate True to countries such as the us a burden such great folks like me all the answers yatakua niwazavyo the deputies still wazr permanent secretaries regional district directors and their ruling jaman makatbu All of these have AVX and castles with everything What you on our taxes are more of a luxury car worth 2.2 trilion it just nimagar that use oil for a week bil1.5 do? these costs we can develop the right?
|