Base (Swahili) |
English |
MATANGAZO
- MTWANGONET inawatangazia viongozi wote wa ASASI kuleta mipango kazi ya Asasi zao katika ofisi ya MTWANGONET ili iweze kujumuishwa na ya Manispaa, mwisho tarehe 10/8/2011. kwa maelezo zaidi fika ofisini MTWANGONET siku na saa za kazi.
- Pia MTWANGONET inawatangazia viongozi wa Asasi zote kuja na kusoma tangazo kutoka T-MACK lililo katika mfumo wa barua, tangazo linataka asasi zinazotaka kuwa asasi kiongozi wa mradi wa FAMILY MATTERS mkoa wa Mtwara na Luvuma waombe, tarehe ya mwisho ni 29/07/2011 kwa maelezo zaidi fika ofisini MTWANGONET siku na saa za kazi.
- Wanachama wote ambao bado hamjamaliza au mnadaiwa ada za uanachama mnakumbushwa kulipa kama katiba inavyotaka.
|
Standing orders
- MTWANGONET inawatangazia ORGANISATIONAL officials of labor organizations to bring their plans in office MTWANGONET to be included with the borough, last on 10/08/2011. came to the office for more details MTWANGONET days and hours of work.
- Also MTWANGONET inawatangazia leaders of all organizations to come and read the announcement from T-Mack is in the form of a letter, seeking a declaration that the organization wants to project leader of the organization FAMILY Matters Luvuma region of Mtwara and ask, the deadline is 29/07/2011 for more details came to office MTWANGONET days and hours of work.
- All members who have not yet completed or are accused of membership fees to pay if you are reminded of the constitution demands.
|