Fungua

/jeanmedia/topic/19428: Kiswahili

AsiliKiswahili
Katiba ya sasa inaeleza kwamba Tanzania ni nchi ya kijamaa wakati ukweli halisi hatuko tena kwenye ujamaa.Lakini pia imempa Raisi madaraka makubwa sana.Katiba mpya impunguzie madaraka,baadhi yahamishiwe kwa bunge.Mathalani,CAG na Mkurugenzi wa PCCB na PPRA waidhinishe na bunge baada ya uteuzi na wawajibike kwa bunge.(Bila tafsiri)Hariri
Ni kweli kwamba Ngao ya ni mashindno ya soka ynayondaliwa na shirika la mpira wa miguu (TFA) yanayoshindanisha timu zilizochukua nafsi ya kwanza na ya pili katikaa Ligi kuu yaa soka Tazania, kwa maadhumuni ya kusaidia watoto yatima, wajane na wegine wahitaji. Lakini tatizo ni kamba pamoja na TFA kutotilia mkazo suala la kusaidia makundi hayo husika, jamii ya watanzania nayo wakiwemo wadau hawajafuatilia kuhusu jambo hilo, kwa kuhoji na kudadisi sababu za kupuuziwa kwa azma hiyo ya awali....(Bila tafsiri)Hariri
Una habari juu ya mashindano ya ngao ya Hisani yanayoendeshwa na shirikisho la mpira wa miguu Tanzania kila mwezi wa sita?Je,ni haki yaitwe ngao wakati hakuna senti hata moja inayoingia katika kuchangia jamii kama watoto yatima,wajane na wengineo wanaohitaji...Una Habari Simu ya mashindano ya ngao ya Hisani yanayoendeshwa Rangi shirikisho la mpira miguu Tanzania Wa Kila mwezi Wa Sita Je?, Nai Haki yaitwe ngao wakati Hakuna senti Timla ikiweka inayoingia katika kuchangia Jamii Kama Watoto yatima, wajane Rangi wengineo wanaohitaji...Hariri