Asili ((unknown language)) | Kiswahili |
---|---|
Kusaidia jamii za Pemba kupitia kamati za uhifadhi na maendeleo za shehia, kusimamia kikamilifu mbinu za uhifadhi wa maliasili na mazingira yao. Kusaidia jamii za Pemba kupitia Kamati za uhifadhi na maendeleo za Shehia kujikita katika mbinu mbadala za kuongeza kipato na kuboresha hali za maisha. Kusaidia jamii kutumia vyema mapato yanayotokana na faida za uhifadhi wa rasilimali zinazowazunguka katika kuanzisha na kuendesha miradi ya maendeleo inayotokana na mipango yao ya shehia. Kushirikiana na taasisi nyengine katika kuleta maendeleo endelevu na usimamizi mzuri wa maliasili za Pemba. Kushirikiana na wadau wengine ndani na nje wanaojishughulisha katika mambo ya uhifadhi na maliasili na maendeleo. |
(Bila tafsiri) |
Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe