Base (Swahili) |
English |
Malengo ya ZAPANET ni kama yafuatayo:-
- Kutoa ushauri wa kisheria kwa jamii yote ya Zanzibar
- Kutoa Elimu ya Kisheria kwa jamii
- Kutoa mafunzo ya haki za kibinadamu
- Kutetea upatikanaji wa haki kwa wazanzibari wote bila ya kuwepo ubaguzi wa aina yeyote kwa jamii
- kushirikiana na Jumuiya nyengine ambazo zina malengo yanayofanana kitaifa, kikanda, na kimataifa
- Kupinga Unyayasaji wa aina zote dhidi ya watoto, wanawake na makundi yenye mahitaji maalum.
|
ZAPANET Goals are as follows: - - Providing legal advice to the whole community of Zanzibar
- Providing community legal education
- Provide human rights training
- Advocating for access to justice for all Zanzibaris without discrimination of any kind to the community
- collaboration with other communities that have similar objectives at national, regional, and international
- Unyayasaji resist all kinds against children, women and special needs groups.
|