Log in

/CHAMAKIVU/home: English: WI0004CD69F0E9E000110082:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

MADHUMUNI

1.1.1  Kusaidia jamii wakati wa maafa na/au majanga mbalimbali.

1.1.2  Kusaidia wakati wa shughuli mbalimbali za kijamii na kiutamaduni.

1.1.3  Kubuni program zitakazohusisha ajira rasmi na    zisizorasmi              

            zinanohusu uzalishaji Mali na huduma.

1.1.4  Kubuni mikakati mbalimbali itakayoweza kuimarisha maendelao ya

          Elimu miongoni mwa Wananchi watokao Wilayani Lushoto.

1.1.5  Kuonyesha kwa vitendo katika kuwajali watu walioathirika na kuathiriwa

          na UKIMWI na WALEMAVU.

1.1.6  Kukuza ajira miongoni mwa Vijana na Wananchi kwa njia ya Kilimo,

          Ufugaji na Biashara.

1.1.7   Kujenga mahusiano na Taasisi za ndani na nje ya nchi ili kuleta

           mahusiano kati ya CHAMA na Taasisi husika.

1.1.8  Kuboresha uhifadhi na kuonyesha kwa vitendo katika kujali Ulinzi wa 

         Mazingira.

1.1.9  Kushiriki katika kubuni, kupanga na kutekeleza mipango mbalimbali

          ya Kitaifa na Kimataifa.

1.1.10 Kuhamasisha jamii mbalimbali ili kujiunga na vyama vya Akiba na

         Mikopo yaani Savings and Credit Cooperative Society (SACCOS).

1.1.11  Kuendesha Makongamano, Warsha, Semina, Majadiliano na Mikutano

          inayohusu maswala mbalimbali ya Michezo na Maendeleo.

1.1.12   Kuhimiza utunzaji wa vyanzo vya Mito, Upandaji wa Miti na

            utunzaji Mazingira.

 

1.2              KAZI

1.2.1  Kuhamasisha utoaji wa Michango itakayo wezesha Ujenzi wa Shule:Za

      Awali,Msingi,Sekondari,Vyuo,Vituo vya Afya na Zahanati  Wilayani   

      Lushoto pamoja na sehamu mbalimbali za nchi.

1.2.2 Kuhamasisha Uanzishwaji wa Vituo vya kulelea Watoto Yatima,na

      waishio Mazingira hatarishi.Na Vituo vya Ushauri nasaha kuhusu   

       magonjwa ya Ukimwi.

1.2.3 Kuanzisha Mfuko wa Jamii kwa ajili ya kusaidia Wajane, Wazee, Vijana

        na Yatima.

1.2.4 Kuainisha na Kuwezesha utekelezaji wa Program za Mafunzo  

      kuendeleza Vijana na Watoto katika kupanua Vipaji vyao maalumu

       kimichezo.

1.2.5 Kuwasiliana na Mashirika yaliyoko ndani na nje katika kusaidia

        Madhumuni na Malengo ya CHAMAKIVU.

1.2.6  Kutoa Elimu ya Ujasiliamali kwa lengo la kuboresha Kilimo, Ufugaji,

        Biashara na utoaji wa Huduma mbalimbali.

1.2.7  Kuendesha Makongamano, Warsha, Semina, Majadiliano na Mikutano

         mbalimbali inayo husu Maendeleo.

1.2.8 Kuwa Wadhamini kwa Wanachama walengwa wote wa CHAMAKIVU

         katika uwezeshaji wa Mikopo na/au Utoaji wa Mikopo kulingana na      

          Taratibu za CHAMA.

1.1 PURPOSE

1.1.1 Support the community during the disaster and / or different risks.

1.1.2 Supporting a wide range of activities including social and cultural development.

1.1.3 Develop programs zitakazohusisha formal employment and informal

zinanohusu productive assets and services.

1.1.4 Develop strategies to strengthen maendelao observation range of

Education among the people that come from Lushoto District.

1.1.5 Show actions in caring for people infected and affected

and AIDS and disability.

1.1.6 Promoting employment among the youth and citizens by means of Agriculture,

Husbandry and Trade.

1.1.7 Building relationships and institutions within and outside the country to bring

relations between the parties and institutions concerned.

1.1.8 Improve the storage and display practices in caring for Protection of

Environment.

1.1.9 Participate in the design, planning and implementing various programs

National and International.

1.1.10 Encourage communities to join unions and savings

The Savings and Credit Cooperative Credit Society (SACCOs).

1.1.11 Conducting conferences, workshops, seminars, discussion and meetings

regarding issues of color and Development.

1.1.12 To encourage preservation of the sources of rivers, planting of trees and

Environmental preservation.

1.2 WORK

1.2.1 Encourage the provision of contributions that will enable construction of the School: Za

Initially, Primary, Secondary, Colleges, Health Centres and Clinics District

Sehamu Lushoto with a variety of countries.

1.2.2 Encourage establishment of daycare centers Orphan Children, and

living environment will rishi.Na counseling centers about

diseases of AIDS.

1.2.3 Establishing the Social Fund for helping widows, elderly, youth

and orphans.

1.2.4 Identify and facilitate the implementation of the Program of Studies

Youth and Children develop in expanding their special talent

sports.

1.2.5 Communicating with the condition of internal and external organizations in support

Purpose and Objectives of CHAMAKIVU.

1.2.6 Provide Entrepreneurship Education for the purpose of improving agriculture, husbandry,

Business and delivery of various services.

1.2.7 Conducting conferences, workshops, seminars, discussion and meetings

Development which involves different.

1.2.8 Have all beneficiaries Trustees Members of CHAMAKIVU

the facilitation of credit and / or provision of loans according to

Party rules.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
January 13, 2013
1.0 OBJECTIVES – 1.1.1 Helping the community during emergencies and / or disasters range. – 1.1.2 Support during social activities and cultural. – 1.1.3 Creating a program zitakazohusisha formal employment zisizorasmi – zinanohusu Mali production and services. ...
This translation refers to an older version of the source text.
Google Translate
April 10, 2012
1.1 PURPOSE – 1.1.1 Support the community during the disaster and / or different risks. – 1.1.2 Supporting a wide range of activities including social and cultural development. – 1.1.3 Develop programs zitakazohusisha formal employment and informal – zinanohusu productive assets and...
This translation refers to an older version of the source text.