Base (Swahili) | English |
---|---|
MADHUMUNI1.1.1 Kusaidia jamii wakati wa maafa na/au majanga mbalimbali. 1.1.2 Kusaidia wakati wa shughuli mbalimbali za kijamii na kiutamaduni. 1.1.3 Kubuni program zitakazohusisha ajira rasmi na zisizorasmi zinanohusu uzalishaji Mali na huduma. 1.1.4 Kubuni mikakati mbalimbali itakayoweza kuimarisha maendelao ya Elimu miongoni mwa Wananchi watokao Wilayani Lushoto. 1.1.5 Kuonyesha kwa vitendo katika kuwajali watu walioathirika na kuathiriwa na UKIMWI na WALEMAVU. 1.1.6 Kukuza ajira miongoni mwa Vijana na Wananchi kwa njia ya Kilimo, Ufugaji na Biashara. 1.1.7 Kujenga mahusiano na Taasisi za ndani na nje ya nchi ili kuleta mahusiano kati ya CHAMA na Taasisi husika. 1.1.8 Kuboresha uhifadhi na kuonyesha kwa vitendo katika kujali Ulinzi wa Mazingira. 1.1.9 Kushiriki katika kubuni, kupanga na kutekeleza mipango mbalimbali ya Kitaifa na Kimataifa. 1.1.10 Kuhamasisha jamii mbalimbali ili kujiunga na vyama vya Akiba na Mikopo yaani Savings and Credit Cooperative Society (SACCOS). 1.1.11 Kuendesha Makongamano, Warsha, Semina, Majadiliano na Mikutano inayohusu maswala mbalimbali ya Michezo na Maendeleo. 1.1.12 Kuhimiza utunzaji wa vyanzo vya Mito, Upandaji wa Miti na utunzaji Mazingira.
1.2 KAZI1.2.1 Kuhamasisha utoaji wa Michango itakayo wezesha Ujenzi wa Shule:Za Awali,Msingi,Sekondari,Vyuo,Vituo vya Afya na Zahanati Wilayani Lushoto pamoja na sehamu mbalimbali za nchi. 1.2.2 Kuhamasisha Uanzishwaji wa Vituo vya kulelea Watoto Yatima,na waishio Mazingira hatarishi.Na Vituo vya Ushauri nasaha kuhusu magonjwa ya Ukimwi. 1.2.3 Kuanzisha Mfuko wa Jamii kwa ajili ya kusaidia Wajane, Wazee, Vijana na Yatima. 1.2.4 Kuainisha na Kuwezesha utekelezaji wa Program za Mafunzo kuendeleza Vijana na Watoto katika kupanua Vipaji vyao maalumu kimichezo. 1.2.5 Kuwasiliana na Mashirika yaliyoko ndani na nje katika kusaidia Madhumuni na Malengo ya CHAMAKIVU. 1.2.6 Kutoa Elimu ya Ujasiliamali kwa lengo la kuboresha Kilimo, Ufugaji, Biashara na utoaji wa Huduma mbalimbali. 1.2.7 Kuendesha Makongamano, Warsha, Semina, Majadiliano na Mikutano mbalimbali inayo husu Maendeleo. 1.2.8 Kuwa Wadhamini kwa Wanachama walengwa wote wa CHAMAKIVU katika uwezeshaji wa Mikopo na/au Utoaji wa Mikopo kulingana na Taratibu za CHAMA. |
1.1 PURPOSE 1.1.1 Support the community during the disaster and / or different risks. 1.1.2 Supporting a wide range of activities including social and cultural development. 1.1.3 Develop programs zitakazohusisha formal employment and informal zinanohusu productive assets and services. 1.1.4 Develop strategies to strengthen maendelao observation range of Education among the people that come from Lushoto District. 1.1.5 Show actions in caring for people infected and affected and AIDS and disability. 1.1.6 Promoting employment among the youth and citizens by means of Agriculture, Husbandry and Trade. 1.1.7 Building relationships and institutions within and outside the country to bring relations between the parties and institutions concerned. 1.1.8 Improve the storage and display practices in caring for Protection of Environment. 1.1.9 Participate in the design, planning and implementing various programs National and International. 1.1.10 Encourage communities to join unions and savings The Savings and Credit Cooperative Credit Society (SACCOs). 1.1.11 Conducting conferences, workshops, seminars, discussion and meetings regarding issues of color and Development. 1.1.12 To encourage preservation of the sources of rivers, planting of trees and Environmental preservation. 1.2 WORK 1.2.1 Encourage the provision of contributions that will enable construction of the School: Za Initially, Primary, Secondary, Colleges, Health Centres and Clinics District Sehamu Lushoto with a variety of countries. 1.2.2 Encourage establishment of daycare centers Orphan Children, and living environment will rishi.Na counseling centers about diseases of AIDS. 1.2.3 Establishing the Social Fund for helping widows, elderly, youth and orphans. 1.2.4 Identify and facilitate the implementation of the Program of Studies Youth and Children develop in expanding their special talent sports. 1.2.5 Communicating with the condition of internal and external organizations in support Purpose and Objectives of CHAMAKIVU. 1.2.6 Provide Entrepreneurship Education for the purpose of improving agriculture, husbandry, Business and delivery of various services. 1.2.7 Conducting conferences, workshops, seminars, discussion and meetings Development which involves different. 1.2.8 Have all beneficiaries Trustees Members of CHAMAKIVU the facilitation of credit and / or provision of loans according to Party rules. |
Translation History
|