Log in

/CMT/history: English: WI000D0BCB3665E000112035:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

Chama cha michezo cha viziwi -Tanga kilianzishwa mwaka 2009 kwa juhudi za viziwi wenyewe baada ya kututoshirikishwa kikamilifu na kutokuwa na chombo cha kuwatetea na kudai haki zao katika sekta ya michezo mbalimbali mkoani Tanga.kwa muda mrefu mkoa wa Tanga umekuwa na wanamichezo viziwi ambao walikuwa katika vilabu mbalimbali lakini uwepo wao na ushiriki wao katika vilabu hivyo ulikuwa haupewi kipaumbele kutokana na wahusika katika vilabu hivyo kutowapa nafasi ya kuonyesha vipaji vyao hivo viziwi wanakuwa hawafanikiwi wala kufika mbali katika tasnia ya michezo.CHAMIVITA kilianzishwa na msukumo wa viziwi kwa ushrikiano mkubwa na afisa utamaduni wa halmashuri ya jiji la Tanga ambaye amekuwa bega kwa bega na viongozi wa CHAMIVITA na kuhakikisha kuwa viziwi wanakuwa na chombo cha kuwaunganisha katika michezo.

MAFANIKIO KWA MWAKA 2012

Kwa mwaka huu 2012 CHAMIVITA Kimefanikiwa kufanya mikutano na wanachama wa wilaya 4 za mkoa wa Tanga ambazo ni Tanga,Muheza,Korogwe,na Handeni. Na katika mikutano hii CHAMIVITA inatoa mafunzo juu ya SERA YA TAIFA YA MICHEZO kwa ufadhili wa shirika la FOUNDATION FOR CIVILI SOCIETY (FCS) lengo la mafunzo hayo ni kuwajemgea uelewa viziwi juu ya utekelezaji wa sera ya Taifa ya michezo najinsi ya kuwafanya wawe na ufahamu wa kufutilia sera hizo ikiwemo utekelezaji wake. pia CHAMIVITA kimemfanikiwa kujenga mahusiano na vyama vingine vya michezo mkoani TANGA

Party games for deaf-Tanga was founded in 2009 through the efforts of the deaf themselves after kututoshirikishwa perfectly with no tool to protect and claim their rights in the sports industry multi region Tanga.kwa long Tanga region has been and sportsmen deaf who were in clubs range but their presence and participation in clubs was not being given due attention to the characters in the clubs so not to give the opportunity to display their talents hivo deaf that will not be successful and come off in the industry michezo.CHAMIVITA was founded by the inspiring deaf to ushrikiano widespread and official culture lmashuri of the city of Tanga, who has been shoulder to shoulder with the leaders of CHAMIVITA to ensure that deaf people have a tool to connect the games.

SUCCESS FOR THE YEAR 2012

In the year 2012 successfully CHAMIVITA meetings with members of four districts of Tanga region, which is Tanga, Muheza, Korogwe and Handeni. And at these meetings provides training on CHAMIVITA NATIONAL SPORTS POLICY funding agency CIVILI FOUNDATION FOR SOCIETY (FCS), the goal of training is kuwajemgea deaf awareness on the implementation of the national sports policy najinsi to make them aware of dismiss such policies, including its implementation. kimemfanikiwa CHAMIVITA also build relationships with other sports associations in Tanga


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
April 10, 2012
Party games for deaf-Tanga was founded in 2009 through the efforts of the deaf themselves after kututoshirikishwa perfectly with no tool to protect and claim their rights in the sports industry multi region Tanga.kwa long Tanga region has been and sportsmen deaf who were in clubs range but their presence and participation in clubs was not being given due attention to the characters in the clubs so not to give the opportunity to display their talents hivo deaf that will not be successful and...