Log in

/CEDO/topic/27473/add_message: English: dM00062C11C0163000058780:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

Napenda kukushukuru kwa mada yako nzuri mr Jophet A Kalegeya

kutokana na mada yako nzuri ambayo mimi inanihusu moja kwa moja kutokana shughuri zangu ninazofanya

MAJUKUMU YA SERIKALI ZA MITAA.

 

Halmashauri za Manispaa zimeanzishwa chini ya sheria za Mamlaka za Miji (Local Government Urban Authorities Act. 1982).
Majukumu makuu ya Serikali za Mitaa yaliyofafanuliwa na sheria hiyo ni kama ifuatavyo:-

  • Kusimamia na kudumisha amani ulinzi na usalama katika maeneo ya mipaka yake.
  • Kuhamasisha/kuendeleza na kuwapatia huduma bora za kijamii na kiuchumi wananchi walio katika eneo la mipaka ya Halmashauri.
  • Kusimamia sera za maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika maeneo yao.
  • Kuchukua hatua madhubuti za kuhifadhi na kuendeleza mazingira.
  • Kusimamia utawala, fedha, mambo yote ya uendeshaji katika ngazi mbalimbali zilizo ndani ya mamlaka ya Halmashauri ya Manispaa/Jiji.
  • Kusimamia na kuhakikisha demokrasia inadumishwa katika jamii.
  • Kukusanya mapato yatakayowezesha mamlaka ya serikali ya mtaa kuendesha shughuli zake pamoja na kutoa taarifa za matumizi kupitia kamati mbalimbali.
  • Kutoa huduma mbalimbali za kiuchumi na kijamii pamoja na kutekeleza shughuli za maendeleo katika maeneo yao.
  • Kuzingatia na kutambua masuala mtambuka kama vile Jinsia (accord due recognition to and, promote, gender awareness).
  • 10. Kuendeleza na kusimamia kanuni za biashara, viwanda, kilimo n.k.
  • 11. Kusimamia na kuendeleza huduma za Afya, Elimu, Maji, Utamaduni na masuala ya burudani katika jamii.
  • 12. Kubuni mikakati ya kupambana na umaskini pamoja na mbinu za kusaidia kuboresha maisha ya vijana, wazee, walemavu n.k.

hivyo kutokana na majukumu hayo si hiyari kwa kiongozi   hila tatazo hata baadhi ya viongozi na wananchi awatambui kabisa wajibu wao hivyo basi jukumu la kila mtu amuelimishe kujua majukumu na ya viongozi wake na ajue umuhimu wake wa kushiriki kikamirifu katika serikali ya Mtaa wake na kudai mapato na matumizi nikisema kikamilifu maana kuna watu wao uenda tu lakini awachangii kitu chochote ili tuweze kusimamia vizuri rasilimali za uma na kuwawajibisha wale viongozi wasio kuwa na madli jukumu la viongozi  kuwa na wazi  na uwajibikiji ni letu wananchi kwa mujibu wa katiba ya jamuhuri ya muhungano wa Tanzania ya mwaka 1982 asante sana

 

I wish the best for your topic kukushukuru mr Jophet A Kalegeya

from your good topic that I inanihusu directly from me I do shughuri

RESPONSIBILITIES OF LOCAL GOVERNMENT.

Municipal Councils were established under the authority of the town (Local Government Urban Authorities Act. 1982).
Major Responsibilities of Local Government and the law is clarified as follows: -

  • Managing and maintaining peace and security protection in the areas of its territory.
  • Supporting / developing and providing quality social services and economic citizens who in the council area boundaries.
  • Managing policies of economic and social development in their areas.
  • Taking steps to preserve and sustain the environment.
  • Manage administrative, financial, all operating at different levels within the authority of the Municipal Council / City.
  • Manage and ensure democracy inadumishwa community.
  • Revenue collection in which local authorities operate and provide consumer information through various committees.
  • Providing a range of services including economic and social development and implement activities in their areas.
  • To consider and identify cross-cutting issues such as gender (and accord due recognition to, promote, gender awareness).
  • 10. Develop and manage business rules, industry, agriculture etc.
  • 11. Manage and develop services in health, education, water, culture and recreation issues in the community.
  • 12. Developing strategies to combat poverty and techniques to help improve the lives of young, elderly, disabled, etc.

So due to those responsibilities are not willing to lead trick tatazo even some leaders and citizens awatambui entirely their responsibility so everyone's responsibility amuelimishe know responsibilities of its leaders and know the importance of the participation kikamirifu in local government and demand and revenue use if I say fully because there are people going just yet awachangii anything so we can properly manage the resources of public and hold those leaders who have madli responsibility of leaders to be open and uwajibikiji are our citizens under the Constitution of the Republic of muhungano of Tanzania's 1982 thank you very much


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
September 4, 2011
I wish the best for your topic kukushukuru mr Jophet A Kalegeya – from your good topic that I inanihusu directly from me I do shughuri – RESPONSIBILITIES OF LOCAL GOVERNMENT. – Municipal Councils were established under the authority of the town (Local Government Urban Authorities Act. 1982). ...