Log in

/aug/post/103327: English

BaseEnglish
(image) – Mkurugenzi wa Africa Upendo group akiwa anasikiliza kwa makini vijana wakiwa katika mafunzo ya Ulinzi Salama katika Mtaa wa Makuburi -Kibangu.Aliyevaa tisheti ya kijani aliweza kuwakamata majambazi waliopora fedha kule buguruni zaidi ya milioni 28.Anaitwa Miraji Ramadhani Rashid.(Not translated)Edit